Kumbe mnapoitaga utopolo mnaonaga raha eh!?Naona una furahaa unaita majina yote hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mnapoitaga utopolo mnaonaga raha eh!?Naona una furahaa unaita majina yote hayo
Walipoanza kucheza ujinga huu, nikamwambia mtu kuwa soon tutatiwa dule. Mimi siku zote siamini katika back pass. Siku zote. Huyu Kapombe alichotifanyia leo, aaagh. Halafu Walivyo wajinga. Dakika zile, kwanini hawakwenda timu nzima kuzuia ile faulo. Wameniudhi sana hawa wadudu leoDharau dk za mwisho zimetuponza...zile gonga gonga za nini ..unakwenda kumpasia mzamiru mzee wa back pass anampasia kapombe chomachoma
Nchi haiwezi kutulia, kelele kesho zitazidi maana Yanga mnaongea sanaBora wamefungwa. Wangepata hata sare tu, wangeendelea kuchonga. Sasa nchi itatulia.
Ndugu yako ni shabiki wa Simba na Man U, Leo sijui kama atapata usingizi maskiini..!!Tuliyoyaona uwanjani last weekend Vs Ahly nilipanga kulipiza leo. Of course, nilipo nimeshangilia sana.
Kunywa maji ya vuguvugu upumzike kwny kivuli, utapata unafuuYaan bora hata ile penalt ingekua goal, kuliko huu uchuro uliotokea hapa,
Inaboa sana, mxxxiiiiiieeeeew
Bado mechi za makundi hazijaisha hivyo tutakutana tena jamvini...😂😂😂Tuliyoyaona uwanjani last weekend Vs Ahly nilipanga kulipiza leo. Of course, nilipo nimeshangilia sana.
Hujui mpira wewe, timu yoyote duniani ikiwa imesajili Kocha mpya lazima iwe na matokeo mazuri kwa mechi 2 au 3 za awali sababu kila Mchezaji hujitutumua kumwonesha Kocha ana kiwango kumbe wote ni Wastaafu tupu ndani ya Makolokolo SC [emoji1787]Ila jamani tuwe na moyo ni shukurani.
I'm a simba fan ila simba wamecheza vizuri leo jamani.
Yale mapungufu mengi tulozoea kuyaona hayapo. Kimsingi simba imebadilika kiasi fulani kuanzja mchezJi mmoja mmoja hadi timu.
GoooolBado mechi za makundi hazijaisha hivyo tutakutana tena jamvini...😂😂😂
Utopolo mko mkiani, mna alàma mbili tu hamjashinda hata mechi moja. Mkitaka kwenda robo itabidi msimamo uwekwe juu chini.Kazi kusumbua Mahakama tu lakini hukumu ipo palepale
Makolo ni Makolo TU
awakawii kudai mangungu awaachie timu yao 😂Wasimfukuze tu kocha kesho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema kuna mashabiki wa yanga ni wachawi sana, nimesikia kuna maeneo watu wanashangilia kwa kishindo nikajua simba, kuangalia kumbe wydad nikasema kumbe kuna watu huwa wanashangalia kufungwa kwa wapinzani wao wazi wazi hivi
Mbona hawa waarabu wabovu tutbh,
Na uyanga wangu ila nimetukana, hilo goli ni la mkono wa mtu walaqhi', ndugu zetu mbona mlienda vizuri tu jamani..!!