FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

Mbona Mimi sio mfatiliaji sana wa mpira lkn najua Simba Ina tatizo.

Nyie wanasimba wenzangu mnaofatilia mpira za ndan na nje .

Mnabet na kubet.


Mnawezaje kudhan Simba hii itafika mbali???.


Huo ni ushabiki wa kikuma
Kwa sasa timu inacheza vizuri japo kwenye safu ya ufungaji tatizo lipo.

Benchika anajitahidi kuijenga timu.
 
Sema kuna mashabiki wa yanga ni wachawi sana, nimesikia kuna maeneo watu wanashangilia kwa kishindo nikajua simba, kuangalia kumbe wydad nikasema kumbe kuna watu huwa wanashangalia kufungwa kwa wapinzani wao wazi wazi hivi
Na jana goli la penalti ilikua hivyo hivyo.
Na si jana tu mara zote YANGA ikicheza wakifungwa tu huwa najua bila kuangalia mpira, maana hapa nilipo utafikiri hawa jamaa wamegongewa mademu wao na Wana YANGA.
 
Sema kuna mashabiki wa yanga ni wachawi sana, nimesikia kuna maeneo watu wanashangilia kwa kishindo nikajua simba, kuangalia kumbe wydad nikasema kumbe kuna watu huwa wanashangalia kufungwa kwa wapinzani wao wazi wazi hivi
Hivi ulivyoshangaa nami nilishangaa siku Al Ahly alivyotufunga mshangilio ulikuwa mkubwa kuliko tulivyorudisha. Nikasema kweli Makolo ni wanga.
 
20231210_002551.jpg

Ukigeuza
 
Technically Giroud ni striker wa daraja la kawaida sana, anaanzaje kuwa Bora... Ukiulizwa striker Bora ufaransa kwa miaka 5 iliyopita utamyaja Olivier Giroud? Kwa kipi hasa?

Deschamps kumfanya yeye ndio first choice kwa miaka yote hiyo sio kigezo cha kufanya tumuone ni Bora... Deschamps ni kocha mwenye kiburi na chuki na hta Giroud amekuwa akimpanga kwa mahaba tu...!!

Kwanza unajua hata sababu ya yeye kutomuita Karim Benzema kwa miaka yote Ile kabla hajamuita kwenye National league mwaka 2021??
Mkuu naiomba hiyo siri maana niliumia sana Lcazette wakati yupo kwenye form hakuwahi kuitwa
 
Back
Top Bottom