Tokaaaa hapaaMoja Moja huko
Simba inapita katka kipindi kigumu, kupata matokeo mazuri ni kwa wakati huu itokee bahati tu.Kama tutaendelea kujifanya tuko sawa kwamba Simba hamna tatizo ,basi usikae kutegemea matokeo Mazuri Kwa Simba.
Una kiraru weyee, hebu tulizana bas.Umesema ukweli Kabisa[emoji1787]
Safi saaana... Mbumbumbu wanatakiwa wazomewe namna hiyo, kama hayakuona dhuluma hii yakikaza mafuvu kuwa ni offside, kwanini yaonewe huruma [emoji848][emoji851]Sema kuna mashabiki wa yanga ni wachawi sana, nimesikia kuna maeneo watu wanashangilia kwa kishindo nikajua simba, kuangalia kumbe wydad nikasema kumbe kuna watu huwa wanashangalia kufungwa kwa wapinzani wao wazi wazi hivi
Bila shaka unaisema yangaTimu bora leo hii inashangilia kuwa sawa na timu wanayoiita mbovu nafikiri sasa wamejua uwezo halisi wa timu yao, na zile kelele za "subirini tuingie makundi tuwaoneshe jinsi ya kufika nusu fainali, leo hii badala ya kudhihirisha ubora wao eti nao wanashangilia wenzao kuwafuata mkiani
hyo timu haipo, na kwa mkapa wanakandwa.Mimi bado najiuliza hivi kumbe hata ile penalty ingeingia kumbe kulikuwa hakuna team ya kuweza kusawazisha hapa.
Kiraru ndo Nini 🤣Una kiraru weyee, hebu tulizana bas.
Khaaaah
Wasawazishie wapi makolokocho hawaMimi bado najiuliza hivi kumbe hata ile penalty ingeingia kumbe kulikuwa hakuna team ya kuweza kusawazisha hapa.
Tokaaaa hapa,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiraru ndo Nini [emoji1787]
We jamaa umezidisha umepita mengi mno, sisi hata huwa hatuwaiti majina mengi hivyo!Kumbe mnapoitaga utopolo mnaonaga raha eh!?
Robo ipi? Ya sembe au mchele?Chance ipo kubwa ya Simba kuingia Robo ....