Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MfyuuuuhHili ndo lile Jina la yule jamaa aliyeshinda goli dakika za jionii[emoji1787]
Mlinionya sana ndugu zangu, nikawa mbishi!
KwendraaaaaNa wewe my[emoji1787][emoji1787]
Kwa leo haji ng'o, labda uenda na greda.Scars kuja hapa
Tumepinduwa meza.
Tunaishabikia tu Simba kwa vile ipo damuni lakini ina wachezaji wa hovyo, Simba inatakiwa ifanye maamuzi magumu iachane na wachezaji wengiRobo ipi? Ya sembe au mchele?
Kwa team ipi? Saidoo mzee? Chama lege lege hata shoga wa kishua ana nguvu, kibu akili kisoda minguvu mingi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan li team limekosa hata maelewano, khaaaah.
Akiba ya maneno inahitajika hii Ligi bado inaendeleaRobo ipi? Ya sembe au mchele?
Kwa team ipi? Saidoo mzee? Chama lege lege hata shoga wa kishua ana nguvu, kibu akili kisoda minguvu mingi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan li team limekosa hata maelewano, khaaaah.
Polee sana inabidi akija hapa bongo mfunge huyo mwarabuKwendraaaaa
Kwa team hii hii, Mimi naona wachezaji wanaendelea kubadilika, wanakuwa na speed na wanachea kwa kuelewana, tuwape mudaKwa team hii, thubutuuu.
Nyani huwa haoni kundu lake.Sema kuna mashabiki wa yanga ni wachawi sana, nimesikia kuna maeneo watu wanashangilia kwa kishindo nikajua simba, kuangalia kumbe wydad nikasema kumbe kuna watu huwa wanashangalia kufungwa kwa wapinzani wao wazi wazi hivi
Blaza kaushaPigaaaaa haoooooooo mapopoma ya mwamediiii
Blaza kausha
kaamua kutoka kwenye nembo!