Mfalme_wa_Nyika
JF-Expert Member
- May 24, 2023
- 389
- 911
WAMEUFYATA MKIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂🤣Msimamo huu umeiweka Simba katika nafasi ngunu sana hasa baada ya ASEC Mimosas Kuifunga Galaxy; hata hivyo bado simba wana nafasi kama saba hivi kutinga robo fainali.
ninyi ninyi ndo mlisema yanga hana nafasi ila nyie ndo mnayo😂😂 simba mnappigwa nje ndani na wydadMsimamo huu umeiweka Simba katika nafasi ngunu sana hasa baada ya ASEC Mimosas Kuifunga Galaxy; hata hivyo bado simba wana nafasi kama saba hivi kutinga robo fainali.
Pumba tupu wewe.ninyi ninyi ndo mlisema yanga hana nafasi ila nyie ndo mnayo😂😂 simba mnappigwa nje ndani na wydad
Yaan Saidoo na onana nikiona wamewekwa uwanjani, hata mood ya kutazama mpira inakataa.Tunaishabikia tu Simba kwa vile ipo damuni lakini ina wachezaji wa hovyo, Simba inatakiwa ifanye maamuzi magumu iachane na wachezaji wengi
Wachezaji ambao wanafaa ni Makipa wote, Kibu, Shabalala,Mzamiri, Kanuti ,Inonga,Shamalone, Ngoma ,takataka zingine ni za kutimua labda wa ndani tu wenye umri mdogo wale wazee kina kapombe na bocco nikuwatimua.
Simba wa hovyo sana kwenye usajili,huwezi kusema umeleta wachezaji maprofessional halafu ndo hao kina Onana, They are offering nothing!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan Simba ivuke makundi? Thubutuuu.Akiba ya maneno inahitajika hii Ligi bado inaendelea
Inaumiza mnoo.Polee sana inabidi akija hapa bongo mfunge huyo mwarabu
Labda unaona team ingine, ila sio hii tunayoijua sisiKwa team hii hii, Mimi naona wachezaji wanaendelea kubadilika, wanakuwa na speed na wanachea kwa kuelewana, tuwape muda
SimbambiliRobo ipi? Ya sembe au mchele?
Kwa team ipi? Saidoo mzee? Chama lege lege hata shoga wa kishua ana nguvu, kibu akili kisoda minguvu mingi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan li team limekosa hata maelewano, khaaaah.
Yanga yupo mkiani kwenye kundi lake la Cacl
Apambane ashinde...Kundi la simba,simba atapita,atamfunga wydad home , jwaneng home
Samehe 7*70...Nilikuwa nawasapoti siku zote ila mlinikera sana kuwashangilia Ahly
Hamna wafungaji pale.Mimi bado najiuliza hivi kumbe hata ile penalty ingeingia kumbe kulikuwa hakuna team ya kuweza kusawazisha hapa.
Benchika out. Tunamtaka Robertinho wetu.Ikumbukwe TU kuwa chini ya Robert Simba ilikuwa haijawahi kufungwa mechi za kimataifa tangu itoke kufungwa na Horoya
Chini ya Benchika Simba imepokea kipigo Cha kwanza