FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

Msimamo huu umeiweka Simba katika nafasi ngunu sana hasa baada ya ASEC Mimosas Kuifunga Galaxy; hata hivyo bado simba wana nafasi kama saba hivi kutinga robo fainali.
ninyi ninyi ndo mlisema yanga hana nafasi ila nyie ndo mnayo😂😂 simba mnappigwa nje ndani na wydad
 
Tunaishabikia tu Simba kwa vile ipo damuni lakini ina wachezaji wa hovyo, Simba inatakiwa ifanye maamuzi magumu iachane na wachezaji wengi
Wachezaji ambao wanafaa ni Makipa wote, Kibu, Shabalala,Mzamiri, Kanuti ,Inonga,Shamalone, Ngoma ,takataka zingine ni za kutimua labda wa ndani tu wenye umri mdogo wale wazee kina kapombe na bocco nikuwatimua.

Simba wa hovyo sana kwenye usajili,huwezi kusema umeleta wachezaji maprofessional halafu ndo hao kina Onana, They are offering nothing!



Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan Saidoo na onana nikiona wamewekwa uwanjani, hata mood ya kutazama mpira inakataa.

Siwapendi km nn yaan
 
82072BD6-ECC6-4154-ACFA-C1B85D2ED3B0 (1).jpeg
 
Robo ipi? Ya sembe au mchele?

Kwa team ipi? Saidoo mzee? Chama lege lege hata shoga wa kishua ana nguvu, kibu akili kisoda minguvu mingi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan li team limekosa hata maelewano, khaaaah.
Simbambili
 
Ikumbukwe TU kuwa chini ya Robert Simba ilikuwa haijawahi kufungwa mechi za kimataifa tangu itoke kufungwa na Horoya
Chini ya Benchika Simba imepokea kipigo Cha kwanza
 
Ikumbukwe TU kuwa chini ya Robert Simba ilikuwa haijawahi kufungwa mechi za kimataifa tangu itoke kufungwa na Horoya
Chini ya Benchika Simba imepokea kipigo Cha kwanza
Benchika out. Tunamtaka Robertinho wetu.
 
Back
Top Bottom