Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Onana na Baleke kazi ipo
Vyovyote vile caf confederation cup inabaki kuwa umitashumta mzee baba.... ni tournament flani hv ya hopeless clubs km yangaNdio ni ileile ambayo sisi simba tuliondolewa na Orlando pirates japo tuliroga katikati ya uwanja
🤣😂🤣😂😂Lolote baya liwakute
Sasa kwanini mshindi wa shirikisho kampiga mshindi wa ligi ya mabingwa na ndio anaenda kuliwakilisha bara la afrika?Vyovyote vile caf confederation cup inabaki kuwa umitashumta mzee baba.... ni tournament flani hv ya hopeless clubs km yanga
Hapana hawaoneshiDstv wanaonesha?
🤣😂🤣😂🤣🤣😂😂Mashabiki wa Waydad tupo hapa. Leo tunachukua alama zetu tatu na goli zetu 4 kiulainiiii.
View attachment 2837231
Chaneli gani mkuu?Hawaonyeshi mkuu Azam ndo wanaonyesha
Wanaonyesha Azam sport 3, UTV au ZBC 2, kati ya hizo channel huwezi kukosa hiyo michuanoChaneli gani mkuu?
Wahed..1Naomba mtu anifundishe kuhesabu kiarabu mpaka saba
Azam sports 3Azam channel Gani wanaonyesha?