joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mbona unajishtukia,jana mlijazana kwenye mechi ya Yanga.Wakati sio timu yenu. So tulia hapa na sisi leo fuifanyie uchambuzi mechi yenu kama mlivyofanya nyinyi jana.Utopolo Wa hapa Jukwaani jinsi Wanavyochangia Wananikumbusha Miaka Ile Walivyokuwa Wanaenda Airport na Maandamano Kuwapokea Timu pinzani za Simba Kimataifa...!
Ukweli Utopolo wanayo Mengi ya Kujifunza, Wakiwa Watulivu taratibu Wataelewa nini Maana ya CAF Champions League na CAF CC...Yaani ni Vitu Viwili tofauti Kbs...!
Azam sport 3 kiongozi.Azam channel Gani wanaonyesha?
Azam sport 3 kwa ambao hawajaona badoAzam channel Gani wanaonyesha?
Shukrani bossAzam sports 3
Shukrani bossAzam sport 3 kiongozi.
Kila kocha huwa ana jicho lake, ni kama Robertinho kwa Kibu Denis kisha kaja kuwa tegemeo.
Mnyama mkali
Yes, ni kweli kuna baadhi ya wachezaji unakuta wana kitu lakini kocha anashindwa kumwona au kutumia hiyo kitu, nadhani akianza hivi pia confidence itaongezekaKila kocha huwa ana jicho lake, ni kama Robertinho kwa Kibu Denis kisha kaja kuwa tegemeo.
Acha Onana aaminiwe huenda akawa yule tuliyemtarajia chini ya kocha huyu.
Vyura wote madimbwini ndo wanaomba.Watanzania wote tunaomba simba afungwe leo
Utafaidi niniWatanzania wote tunaomba simba afungwe leo
Kwani akishinda sisi watanzania tunafaidika niniUtafaidi nini
Jiulize ni Kwanini Bingwa CC hayupo Klabu 10 Bora za Afrika CAF?Sasa kwanini mshindi wa shirikisho kampiga mshindi wa ligi ya mabingwa na ndio anaenda kuliwakilisha bara la afrika?
Tunaiheshimisha nchiKwani akishinda sisi watanzania tunafaidika nini