Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wydad ni haki Yao kufungwa mechi zilizopita.kwani CR BOULZDAD sio waarabu?
waydad hakuna timu hapo.Huyu kocha akipewa wachezaji wazuri kisha waamini katika project badala ya mihemuko ya muda mfupi, ataisuka vizuri mno Simba Sc.
Kaa kwa passwordThimba wanaruka ruka tu,ila kifo kipoo palepale.
Kibu Dee garasa lililochangamka. Tutafanyaje na ndio wachezaji wetu tunaenda nao namna hiyo.Hakuna mtu humoo..
Ndio muache kumbeza kwa ubaguzi sasa.Duh...Ayoub Katuokoa tena
Waliowapiga 3-0 juzi tuu ni wahindi? Mbona mnajitoa ufahamu? Ndo maana mnaomba kubadilishiwa kundi mautopolo hamna akili.Hawa warabu, wangekutana na Yanga, wangekunywa goli nyingi.
kwa hiyo ni Simba A na Bwaydad hakuna timu hapo.
Hili ni garasa lenye bahatiKibu D, Kibu Dee Mkandaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kakutana na kibonde wa kundiAngalau simba leo wameanza kucheza kwa kumaanisha.
Kati ya Yanga Sc na Madeama Fc, nani ana team nzuri?waydad hakuna timu hapo.
Diara ajifunzeAyoub🙌🙌🙌🙌!
Yaaani yaani fi lakin mina Widad mubarak, aah Simba Tanzanie inshaaAllah ... aah laalah musafik.. hakik Widad mushikili...
View: https://m.youtube.com/watch?v=NazCS94Asag&pp=ygURUjEwIEZPT1QgV0FDIExJVkU%3D%5B/URL
Saudi arabia mbna alimfunga argentina.... Mpira unadunda sometimesSasa kwanini mshindi wa shirikisho kampiga mshindi wa ligi ya mabingwa na ndio anaenda kuliwakilisha bara la afrika?
Tangu nimeanza kumuona, akikaba Kati ya mara 5 basi mara 3 lazima acheze faulo! Anaonekana ni striker anayependa sana kuisidia timu kurudisha mpira lakini kukaba penyewe hajui.... Anatumiaga manguvu mengi sana kuliko maarifa.Kibu ni mkabaji mzuri tu.
wote ndugu haokwa hiyo ni Simba A na B
yanga ana timu nzuriKati ya Yanga Sc na Madeama Fc, nani ana team nzuri?