FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

Angekuwa mzee wa objective football naamini tungeshinda.... Au kudraw!.
 
Kuanzia dkk ya 65 team ilianza kucheza kwa kuzuia na kuruhusu mashambulizi golini kwetu, nilijua tyuuh hizi faulo na kona zitatuumiza, ndo kilitokea.

Yaan inaumiza had Co poaa, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mrembo kabana miguu dk ya 90 kuonyeshwa ten kaachia..tulisema makolo sio wachoyo hawajui kukataa
Makolokolo yalishaanza kutamba kuwa Diara ajifunze kwa Kipa lao, kumbe lilikuwa linachelewesha tu 3 points [emoji23]
JamiiForums-1769471325.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sema kuna mashabiki wa yanga ni wachawi sana, nimesikia kuna maeneo watu wanashangilia kwa kishindo nikajua simba, kuangalia kumbe wydad nikasema kumbe kuna watu huwa wanashangalia kufungwa kwa wapinzani wao wazi wazi hivi
 
Atutaki Ayubu adake pazia la chooni linafunuliwa kiurahisi Bora manura wetu kipa gani huyu wa b3 , mo tapeli, na pale shida ni jezi Zina mkono unashika Tako pale nyuma, mangungu tuachie timu yetu, chama kauza mechii hii, kapombe na tshabalala wamechoka viwango vimeshuka tuwatimue TU, unamuwekaje pili njee acheze baleke kocha atufai huyu bora atimuliwe, tatizo wydad wameroga mechi, tunafungwaje alafu wachezaji wanapicha picha na wapinzani awaoneshi kuumia watuachie Simba yetu timua wote tu
 
Back
Top Bottom