Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Jana ulisema Mwarabu kapania Mkuu 🤣 🤣 🤣Mrembo kabana miguu dk ya 90 kuonyeshwa ten kaachia..tulisema makolo sio wachoyo hawajui kukataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana ulisema Mwarabu kapania Mkuu 🤣 🤣 🤣Mrembo kabana miguu dk ya 90 kuonyeshwa ten kaachia..tulisema makolo sio wachoyo hawajui kukataa
Kwani hujajifunza?Haya jamani wazoefu wa CAFCL mnasemaje hapo? Mlisema tujifunze kwenu jinsi ya kucheza hizi mechi...
Mdakuzi
Jina lake lihimidiwe.Bwana ametoa bwana ametwaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuwa mkono wa Yanga ili tuwe sawatbh,
Na uyanga wangu ila nimetukana, hilo goli ni la mkono wa mtu walaqhi', ndugu zetu mbona mlienda vizuri tu jamani..!!
Na Leo imetolewa mkole na doti za kangaTimu imejaa wakata viuno na watunga shanga. Fukuzilia mbali haya magarasa yatuachie Simba yetu.
Makolokolo yalishaanza kutamba kuwa Diara ajifunze kwa Kipa lao, kumbe lilikuwa linachelewesha tu 3 points [emoji23]Mrembo kabana miguu dk ya 90 kuonyeshwa ten kaachia..tulisema makolo sio wachoyo hawajui kukataa
Nadhani mmejionea sio mnafungwa goli nyingiHaya jamani wazoefu wa CAFCL mnasemaje hapo? Mlisema tujifunze kwenu jinsi ya kucheza hizi mechi...
Mdakuzi
Mbona kinyonge sana Mkuu? Hujazoeleka hivi.Bahati mbaya tu hiyo.......bado hatujafika tamati.
Hiyo ndio kazi ya mashabiki ndani ya timu, acha wawajibikie kibarua chao....😂😂😂Kesho wakiamka, wataanza tena zile kelele zao za kumkataa Mangungu, na baadhi ya wachezaji. 😁
Wasimfukuze tu kocha kesho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mshaanza tena [emoji3],makolo inabidi mpepewe [emoji23]