Sawa.Mjipange kwa ajili ya msimu ujao. Robo fainali ndiyo kipimo chenu cha mwisho cha mafanikio.
Huu ushauri utautoa baadaye. Ngoja kwanza tufike fainali kwenye haya mashindano mliyotolewa kwa aibu kule Afrika ya kusini.Sawa.
Ila huwezi kula keki ambayo huna. Huwezi hata kuongelea utamu wake sababu hujawahi kuila. Fika kwanza robo fainali kwenye haya mashindano, vuka kisha ongea kuhusu hayo mafanikio na vipimio unavyosema.
Wao hawakutaka kombe la loosers,ila wamepotea na uwanjani walikojipendekeza,pia hawakumbuki waliwasha 🔥 uwanjani south wakitaka kombe wanaliita la loosers tena kimiujiza kama ya Mackenzie 🏃🏃Bahati haikuwa yetu............
Kapombe alikunywa pombe kidogo............
Kipa hakuwa mzoefu ila ni hatari............
Tumetolewa kiume..............
Chama katukosesha nusu fainali...........
Mwakani tutaingia nusu fainali............
Onyango mzee aondoke.................
Wydad wa kawaida...............
Simba Guvu Moya.
Ongezea maneno watakayotumia kujifariji leo
Ukitema povu tunadekia.View attachment 2603232
Haya ambayo mliingia kwa sifa ya kutolewa yale mengine?Huu ushauri utautoa baadaye. Ngoja kwanza tufike fainali kwenye haya mashindano mliyotolewa kwa aibu kule Afrika ya kusini.
Wajue tu waliowacheka wanacheza kombe la loosers wananyanyua ndoo,muda sio mrefu 😂Inajulikana Makolo mwisho wao ni robo fainali
🦁Ni wapori pori🤔Simba ni ya kimataifa
Nimemaanisha yale mashindano ambayo mlifikia moaka hatua ya kutaka kuchoma moto uwanja wa watu kule Afrika ya Kusini.Haya ambayo mliingia kwa sifa ya kutolewa yale mengine?
Hapa🦁 kanikuta kwenye jangwa la wamoroco siku moja tu,je ingekuwa wiki🤸🤸View attachment 2603322
This is Simbaa
HahahaNimemaanisha yale mashindano ambayo mlifikia moaka hatua ya kutaka kuchoma moto uwanja wa watu kule Afrika ya Kusini.
Tungekusanya Manyoya tuHapa🦁 kanikuta kwenye jangwa la wamoroco siku moja tu,je ingekuwa wiki🤸🤸
Game plan mzee, acha kujitoa ufahamuSimba hajapiga shuti hata moja golini alafu lawama kwa onyango
Pole sana Bro. Naona mwendo mmeumaliza.Jamaa wanatisha sana..dah sijui itakuaje
Hahahaaa! Lol.Wamepigwa kama NGOMA ,Mandonga Mtu Kazi 😀 😀 ,Kwishney patel nei nei kemcho amdabat islamabad.