FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Mjipange kwa ajili ya msimu ujao. Robo fainali ndiyo kipimo chenu cha mwisho cha mafanikio.
Sawa.

Ila huwezi kula keki ambayo huna. Huwezi hata kuongelea utamu wake sababu hujawahi kuila. Fika kwanza robo fainali kwenye haya mashindano, vuka kisha ongea kuhusu hayo mafanikio na vipimio unavyosema.
 
Sawa.

Ila huwezi kula keki ambayo huna. Huwezi hata kuongelea utamu wake sababu hujawahi kuila. Fika kwanza robo fainali kwenye haya mashindano, vuka kisha ongea kuhusu hayo mafanikio na vipimio unavyosema.
Huu ushauri utautoa baadaye. Ngoja kwanza tufike fainali kwenye haya mashindano mliyotolewa kwa aibu kule Afrika ya kusini.
 
Bahati haikuwa yetu............
Kapombe alikunywa pombe kidogo............
Kipa hakuwa mzoefu ila ni hatari............
Tumetolewa kiume..............
Chama katukosesha nusu fainali...........
Mwakani tutaingia nusu fainali............
Onyango mzee aondoke.................
Wydad wa kawaida...............

Simba Guvu Moya.



Ongezea maneno watakayotumia kujifariji leo
Ukitema povu tunadekia.View attachment 2603232
Wao hawakutaka kombe la loosers,ila wamepotea na uwanjani walikojipendekeza,pia hawakumbuki waliwasha 🔥 uwanjani south wakitaka kombe wanaliita la loosers tena kimiujiza kama ya Mackenzie 🏃🏃
 
0174D7D5-7A62-41E5-815B-85DAB611C389.jpeg

This is Simbaa
 
Hakuna kufa kiume, simba inabidi tujue kucheza game ya nyumbani, kutumia nafasi hawa kenge hapa nyumbani walikuwa wafe 3, tukacheza mdako, tukaridhika na kimoja, tumeenda kule wachezaji hawajiamini, ni INONGA pekee alicheza kwa utulivu, wengine woote kina mzamiru utulivu sifuri..
 
Back
Top Bottom