Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Dislike nazitembeza kwa kasi (kwerikweri) π€£π€£π€£ila watu wa Yanga tulieni shughuli yenu jumapiliGreatest Of All Time na hizo Dislike zako πππππ nakuchongea kwa mods waunganishe uzi, huu utamezwa endelea na ndiyo maana leo mnafungwa π€£π€£π€£π€£
Mlishawahi kutoboa lini Kwa warabu nyieHamuwezi amini.ila simba anatoboa vizuri sana.game ya raja casablanca kule kwao tumejifunza mengi na tutayarekebisha.
big no.Leo tunacheza kwa ajili ya kufuzu sio kushinda
Zamaleki ni wamakonde?Mlishawahi kutoboa lini Kwa warabu nyie
Labda we ndio ukimbie hii komenti yakoUsije kimbia uzi wako tu,baki hapa hapa.
Rage[emoji3581]Wengi wao ndio wale waliokuwa wanaenda kupokea wageni UWANJA WA NDEGE
Mbona sikuhizi Hamuendi kuwapokea
17-0Wydad piga Kolos hizo zirudi Nyumbani na Aibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahhahhahahaaaaahhaaahhaha
Sema Uzi umeanza ovyo mkuu ungewapa heshima zao Kwanza wanathimba...
Halafu kwenye komenti ndo tuwaponde...
Anyway rest in peace thimba[emoji82]
Utabiri...
Wydad Casablanca [emoji16] 5 weKundu 1 [emoji1787]
Usicheke Leo NI siku ya msiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]