black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Mapema Sanaa[emoji23][emoji23]Shimba ya Buyenze wameanza kutukana tayari[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapema Sanaa[emoji23][emoji23]Shimba ya Buyenze wameanza kutukana tayari[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii game refa ana agenda zake.Saido atatucost....chama kashakwambia sogea golini ipigwe kona ndefu yeye anang'ang'ania apewe mpira adribble
Tulitarajia iwe cardless Kama jina lakoKadi ya mapema sana hii
Kupoteza mipira vile wakati timu inashambulia ni hatari kwa counter attackHii game refa ana agenda zake.
Ukianguka kuna kusimama piaWydad mbona wanatuangusha..
Ntumbazonkiza mchoyo sanaWanathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa[emoji350][emoji350]
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika..
Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba
Ni siku ambayo taifa la Tanzania linaenda kupata aibu kwa kipigo kizito watakachoenda kushushiwa Simba na waarabu wa Morocco.
Mwana kulitafuta mwana kulipewa, mtoto akililia wembe mwache umkate,
wameingia cha kike eeh waaah!!!
Kuwa nami mwarabu feki upate kile kitakachojiri pale katika Dimba la Mohamed V (machinjioni) Jijini Casablanca...
Mechi hii ya kukata na shoka itaanza majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki na itarushwa na Azam Sports kupitia Channel ya ZBC2
Kaa nami mwanzo Mwisho......
Rest in peace Simba[emoji3545]
Timu zote tayari zimeshaingia uwanjani kupasha misuli tayari Kwa mpambano huu wa Leo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
00" Mpira umeanza hapa katika uwanja wa Mohamed V Wydad ndio wamekuwa wa kwanza kugusa Mpira ule
03" Wydad wameanza kusaka bao la mapema
06" Simba wanapata kona ya kwanza ya mchezo ila haikuzaa bao
View attachment 2602892View attachment 2602894