Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Akipata goli moja tu kabla Wydad hajaongeza la pili, hii game itakuwa ngumu sana kwa Wydad.Hii Mechi Simba aanavuka.
So far, Wydad sio mkali kihivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akipata goli moja tu kabla Wydad hajaongeza la pili, hii game itakuwa ngumu sana kwa Wydad.Hii Mechi Simba aanavuka.
Ingekuwa ni Yanga mida huu tayari washapigwa bao 4 na mengine mawili wamebisha
Wapigane tu...Wanataka kupigana wao kwa wao
uNALIA na Onyango au u NALIA NGWENA ? Mbaga JrMimi nalia Na onyango kwann alikuwa analia Akiwa Bench?
Hiyo furaha ni ya muda tuWaarabu wamejua kunifurahisha ulijuaje 🤗🤗🤗🤗🤗
Ninashangaa hamjaongezewa ka pili. 😁Mechi bado sana hii...
Na mimi nahisi Kolo FC watawanyanyua makolo vitini leo😁😁Bando nina imani na Madundukaz wanaweza kutoa Taifa kimasomaso..
Ucheze na yanga kibwege hivyo akuacheIngekuwa ni Yanga mida huu tayari washapigwa bao 4 na mengine mawili wamebisha