Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
💪💪💪💪💪💪Nshaelewa nshaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💪💪💪💪💪💪Nshaelewa nshaelewa
Uwanja hauchezi mpiraMkiongelea historia, wao (Wydad) historia yao ya uwanja wao wa nyumbani ni kubwa zaidi.
Hatimaye ile siku imefika ya mnyama kuwashangaza waarabu.
Huko casablanca unaambiwa hawajalala leo.
Vijiwe vyote ni simba, al alhy.
Jiji la casablanca linaenda kuzamishwa leo.
FT 1-1
Muongezee Simba goli mojaGemu inaisha 1-1
Kabisa kabisa.....Mimi ni Yanga, niseme wazi kabisa simba anasonga mbele leo mikeka ya watu inakwenda kuchanika.
Nimeona watu wengi wanaipa Wydad nafasi kubwa sanaaaa as if huu sio mpira wa Miguu.
Mpira wa miguu mambo yake tusikariri, ajabu na nusu simba anaweza kusonga mbele Yanga tukafurushwa.
Ulichelewa kuleta huu mzigo.Wanathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa[emoji350][emoji350]
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika..
Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba
Ni siku ambayo taifa la Tanzania linaenda kupata aibu kwa kipigo kizito watakachoenda kushushiwa Simba na waarabu wa Morocco.
Mwana kulitafuta mwana kulipewa, mtoto akililia wembe mwache umkate,
wameingia cha kike eeh waaah!!!
Kuwa nami mwarabu feki upate kile kitakachojiri pale katika Dimba la Mohamed V (machinjioni) Jijini Casablanca...
Mechi hii ya kukata na shoka itaanza majira ya saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki na itarushwa na Azam Sports kupitia Channel ya ZBC2
Kaa nami mwanzo Mwisho......
Rest in peace Simba[emoji3545]
View attachment 2601876View attachment 2601877
RageHILI KWELI BOGA.
Mbona unateseka we kolo[emoji23][emoji23]Unakimbilia kuanzisha thread ya nini wewe mbaya zaidi imekaa kinafiki tu Paw, Wand tafadhali huu uzi uunganishwe na ulioanzishwa na Greatest Of All Time shukrani...
[emoji382][emoji382]Anawashwa sana Huyo boga