FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Huu muda wa hiyo mechi uangaliwe upya,kuna hujuma tunafanyiwa mashabiki wa simba.Wameweka mechi mida ya wanga ili tusione tunavyomtoa kisusio mwarabu.sijapenda.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Simba Nyamaume wishing you all the best
20230428_034249.jpg
 
Uzalendo kwanza!
Kwa mechi zinazoitambulisha Tanzania nje ya mipaka yake!
......UCHAWI NI TABIA....
 
Back
Top Bottom