Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Wydad 1-2 SimbaNimeamka nimekutana na huu uzi umeanzishwa nimejisikia tumevuka kwenda nusu fainali...
Simba nguvu moja
Tukutane saa 6.00 usiku...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wydad 1-2 SimbaNimeamka nimekutana na huu uzi umeanzishwa nimejisikia tumevuka kwenda nusu fainali...
Simba nguvu moja
Tukutane saa 6.00 usiku...
AminaaaWydad 1-2 Simba
POVUUUUUUU, leo lazima mutiwe miwa m4.We kweli utopolo mechi kakwambia nani ni saa 3?? Muwe na akili basi
Anawashwa sana Huyo bogaUjinga huu wa kufungua uzi muda huu
Nahisi itakuwa hivyo piaUtabiri wangu:
Wydad 2-1 Simba
Aggregate: 2-2
Simba watafuzu kwa goli la ugenini
MakoloNani!!?
Wydad!?
🙄🙄🙄🙄🙄Makolo
Wydad haooooKuna mtu anabembelezwa kucheza leo, hii ni kweli?
AhaahaUnakimbilia kuanzisha thread ya nini wewe mbaya zaidi imekaa kinafiki tu Paw, Wand tafadhali huu uzi uunganishwe na ulioanzishwa na Greatest Of All Time shukrani...
Simba Nyamaume wishing you all the best
Kupata kituko hicho nibonyeze ngapi?Kinyume chake
Sema mpe Simba 2
Wydad 1
Bonyenza 15663Kupata kituko hicho nibonyeze ngapi?
Nshaelewa nshaelewaBonyenza 15663