FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Mimi ni Yanga, niseme wazi kabisa simba anasonga mbele leo mikeka ya watu inakwenda kuchanika.

Nimeona watu wengi wanaipa Wydad nafasi kubwa sanaaaa as if huu sio mpira wa Miguu.

Mpira wa miguu mambo yake tusikariri, ajabu na nusu simba anaweza kusonga mbele Yanga tukafurushwa.
 
Kabisa kabisa.....

 
Chupi litabana watu πŸ€£πŸ€£πŸƒ
 
Ulichelewa kuleta huu mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…