FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Kinachomfanya Onyango aendelee kuwepo ndani ya Simba Sc ni kitu gani
 
Jamani onyango amepambana,hio beki anayopiga hapo,kafanikiwa kuwathibiti washambuliaji,msimchukulie poa,kuaminiwa na kocha ni kazi kubwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Tutaiita "kuaminiwa" pale ambapo kocha atakuwa na option nyingine zinazoeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…