FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Mimi ni Yanga, lakini Simba lazima wapewe heshima wanayostahili: wamepambana kibabe sana!
Hakuna kitu hawa ni Waarabu Koko tu, tangu nianze kuangalia mpira 1998 sijawahiona Waarabu walaini laini hivi wanaopiga mpira taratiiibu kama Ruvu Shooting.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
[emoji81][emoji81]mwanangu onyango bora uja piga wali taka waku angushie jumba bovu
1621769120.jpg
 
Back
Top Bottom