FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Mashabikinwa yanga Leo tumekaa kichawi Sana humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilikua napiga dua hapa jamaa wasiende. Kesho tungeamka tunasimangwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji81]dua zime fika bhana kesho tuka liheshimishe taifa hawa pimbi wana maneno sana warudi kupambania azam confederation cup
 
Kocha ni msenge tuu,alishindwa kufanya Sabu dakika 10 kabla Waarabu walipokuwa wamechoka?
Imeshatokea, Simba OUT![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…