FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Hakuna kitu hawa ni Waarabu Koko tu, tangu nianze kuangalia mpira 1998 sijawahiona Waarabu walaini laini hivi wanaopiga mpira taratiiibu kama Ruvu Shooting.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hawa waarabu mechi ya kwanza tusingepotezaga nafasi lukuki mechi ya kwanza ni level yetu kabisa.Wabapoteza Mpira kama Saidi Ntibazonkiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…