Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndoto peleka chooniMara paaap mnyama katusua, sijui mtaweka wapi sura zenu.
Umeona Mkuu, mpira unadunda na mwamuzi ni Dak 90Mara paaap mnyama katusua, sijui mtaweka wapi sura zenu.
Kaudundishe huo mpila ziwani uone km utadunda, acheni kujifaliji na tim lenu bovuUmeona Mkuu, mpira unadunda na mwamuzi ni Dak 90
Kajifunze kwanza kuandika ndiyo uje kuchangia humuKaudundishe huo mpila ziwani uone km utadunda, acheni kujifaliji na tim lenu bovu
We memkwa dio unifundshe shule mm[emoji706]Kajifunze kwanza kuandika ndiyo uje kuchangia humu
Kwa hiyo tukitolewa kwenye michuano utafurahi au utahuzunika?Sinaga unafiki mimi
Sibishani na mazombi, kafie mbele hukoWe memkwa dio unifundshe shule mm[emoji706]
Ondoa 1 inachafua ubao.Warabu 7-1 kinyumenyume [emoji23][emoji23]
Zombi ni wee usijejua kuandika. Nimefunga mjadala na memkwaSibishani na mazombi, kafie mbele huko
Kumbe Dada angu na wewe ni mwananchi, Safi sanaMtani na apigweeee tu
Kwaio ibaki 7-0[emoji848][emoji848]Ondoa 1 inachafua ubao.