mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
- Thread starter
- #221
Acheni kupunguza magoli nyie, izo 4 mbona kidogo mnoLeo matokeo WYDAD 4-0 SIMBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kupunguza magoli nyie, izo 4 mbona kidogo mnoLeo matokeo WYDAD 4-0 SIMBA
Wydad 1-2 SimbaAcheni kupunguza magoli nyie, izo 4 mbona kidogo mno
Jitambulishe plz, je wewe ni guvu moya au daima mbele nyuma mwiko?Machinjioni [emoji23][emoji23][emoji23] aah huu utani wa ngumi
Pepo shindwa[emoji23][emoji23][emoji23]Wydad 1-2 Simba
Shindwa mwenyewePepo shindwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku nikiiombea mikia mema, nitageuka jiwe bure. Haijawahi tokea na haitatokea. Hiyo timu yenu siipendi kabisa. Leo mfungwe, mlie, mkonde 😄😄😄😄😄Si mambo yanazungumzika tu Shogaaa....
Kwanini tufikie kutakiana Ubaya wa wazi wazi namna hii[emoji1787]
Tuombee mema hata kidogo basi kipenzi..
Maendeleo hayana chama - John Pombe MagufuliMiye Yanga Damu
Ilq penye ukweli pasemwe
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️Maendeleo hayana chama - John Pombe Magufuli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lol...Siku nikiiombea mikia mema, nitageuka jiwe bure. Haijawahi tokea na haitatokea. Hiyo timu yenu siipendi kabisa. Leo mfungwe, mlie, mkonde [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ilo ni pepo tu ndio linakusumbua Mwananchi mwenzangu nalikemea Kwa nguvu zote.. pepo tokaaShindwa mwenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ilo ni pepo tu ndio linakusumbua Mwananchi mwenzangu nalikemea Kwa nguvu zote.. pepo tokaa
AahaaaaaaLeo baada ya dakika 90....wale twarukaView attachment 2602094
Bantu kumbe unaakili nyingi we dada[emoji119]Siku nikiiombea mikia mema, nitageuka jiwe bure. Haijawahi tokea na haitatokea. Hiyo timu yenu siipendi kabisa. Leo mfungwe, mlie, mkonde [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mimi sijawahi na haitatokea, hiyo timu hata siielewi na siipendi. Leo waarabu wawafanyie kitu mbaya tu 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lol...
Huyu siyo wewe BL....
Mbona mimi nawatakiaga mema inapobidi[emoji2]
AahahaaGreatest Of All Time na hizo Dislike zako 😄😄😄😄😄 nakuchongea kwa mods waunganishe uzi, huu utamezwa endelea na ndiyo maana leo mnafungwa 🤣🤣🤣🤣