Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo wanapata hamsaaaa zaooo 👋👋👋Wamejificha choo eti [emoji23][emoji23]
Uzi unachekesha sana[emoji23][emoji23][emoji23]. Ila acha wapigweeee tu midomo Yao ikate kwa mudaUsicheke Leo NI siku ya msiba
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ila ukichunguza Kwa Makini inachekesha
[emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Babu yangu Mwarabu inabidi, nishabikie timu ya home sweet home 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
moderator wenyewe wanajua watakavyofanya.Unatakiwa kuunganishwa ni ule uje huku
Kelele zimetuchoshaWaarabu watuondolee kelele huku Gongo la Mboto
AahaaaaDislike nazitembeza kwa kasi (kwerikweri) 🤣🤣🤣ila watu wa Yanga tulieni shughuli yenu jumapili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waarabu watuondolee kelele huku Gongo la Mboto
We huwa husomeki,kuna muda unawaponda simba na Kuna muda unashabikia simba? Au nyie ndo wale ndumilakuwiliTwende kazi mnyama piga hao waarabu
Leo Simba anashindaWe huwa husomeki,kuna muda unawaponda simba na Kuna muda unashabikia simba? Au nyie ndo wale ndumilakuwili
Unaleta porojo za Mwaka 47 huko? Halafu Simba haikushinda kwa zamaleki, ilipigwa 1-0, ila ikasonga mbele kwa mikwaju ya penatiZamaleki ni wamakonde?
Aagh wapi..!! Mtu anaishia robo fainali leo. Anayeishia hapo, hajawahi kuvuka robo fainaliWydad 1-2 Simba
Hawa mbwa Wana kera sana afazali kidomodomo chao kimepoteaKelele zimetuchosha
Kila la shari SSCKila la kheir Simba Sports Club
Wachawi kuujua uchawi ni rahisi sanaUchawi