FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Hahahahhahhahahaaaaahhaaahhaha

Sema Uzi umeanza ovyo mkuu ungewapa heshima zao Kwanza wanathimba...
Halafu kwenye komenti ndo tuwaponde...
Anyway rest in peace thimba[emoji82]

Utabiri...

Wydad Casablanca [emoji16] 5 weKundu 1 [emoji1787]
Unakumbushia khamsa za may 2012 au kile kipigo chako cha mwaka 1998 9:3?
 
Da umeanzisha huu Uzi wewe mwarabu feki. Nakuhurumia sana. Usikimbie tu kaa hapahapa nasi mpaka mwisho. Utopolo wewe
 
Mimi ni Yanga, niseme wazi kabisa simba anasonga mbele leo mikeka ya watu inakwenda kuchanika.

Nimeona watu wengi wanaipa Wydad nafasi kubwa sanaaaa as if huu sio mpira wa Miguu.

Mpira wa miguu mambo yake tusikariri, ajabu na nusu simba anaweza kusonga mbele Yanga tukafurushwa.
Never on the earth kitendo Cha kumpiga club Africaine ,tp mazembe nje ndani ,monastri , rivers United mnk ninkwakba yanga atacheza fainali hz za ccl Niko ddm ilazo pale kuelekea kwa wazir mkuu
 
Kila la kheri wenyeji, nawaombea mshinde 10!

ثلاث دقائق الهدف الأول
الهدف الثاني ثماني دقائق
خمس عشرة دقيقة الهدف الثالث
الهدف الرابع في الدقيقة العشرين
الهدف الخامس في الدقيقة الثلاثين
الهدف السادس في الدقيقة الأربعين
الهدف السابع في الدقيقة السابعة والأربعون
الدقيقة الستون الهدف الثامن
الهدف التاسع وسبعون دقيقة
الدقيقة الرابعة والثمانون الهدف العاشر
Kweli wewe kitimoto
 
Back
Top Bottom