FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Refa yupo fair kabisa
E2D8C318-9E67-4493-8D6C-679ADFB07B5D.jpeg
 
Ukweli ni kwamba Refa anawatafutia magoli Hawa Waarabu.
Kivipi? Kwenye swala la V.A.R refa ndiye anayestuliwa kuhusu kufanyika kwa review tukio. Ingekuwa ni maamuzi ya refa pale angeamua kufunika penati kabla hata ya kufanyiwa review tukio. Ila refa aliruhusu mpira uendelee ndipo akazuiwa kwanza na watu wa V A.R asimamishe kwanza.
 
Back
Top Bottom