FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Hii game ilikuwa siyo ya kupoteza kipindi cha kwanza, tumefungwa goli kutokana na ujinga ambao hauvumiliki kabisa tena (baada ya ule mbele ya Raja)

Wydad hana mpira wa kumtoa Simba Sc ni wa kawaida sana, ila kwa huu upumbavu wa Onyango, Saidoo na Chama tutatoka.


Plan ya kocha umefanya kazi vizuri, hana lawama zozote za kubeba hata kama tutatoka.
Ila kipa Salum naye asikariri, kuna mipira ya kudaka. Ule mpira ulikuwa wa kudaka.
 
Kivipi? Kwenye swala la V.A.R refa ndiye anayestuliwa kuhusu kufanyika kwa review tukio. Ingekuwa ni maamuzi ya refa pale angeamua kufunika penati kabla hata ya kufanyiwa review tukio. Ila refa aliruhusu mpira uendelee ndipo akazuiwa kwanza na watu wa V A.R asimamishe kwanza.
Fouls nyingi zisizo na msingi anawapa Wydad na za Simba Zenye mazingira hayo hayo anazipotezea.
 
Hawa washenzi watamtarget Chama apate kadi ya pili, awe makini sana maana mtu wao alifanya faulo ile ile kama ya Chama ila refa hakutoa kadi.
 
Yamepigwa mashuti 6 na 4 kati ya hayo ni blocked, mawili ni off target



Kwa kule futuhi ni sawa na goli sita hizo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona mnyama akiendesha baiskeli ziwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom