FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Lile goli goli kipa yeyote mzoefu hata kado t hafungwi,mpira kaukuta vizuri tu sijui alikua anafkiria Nini pale anausindikiza na macho na mikono ,..hata commentator anasema kbsa hii goli kipa alitakiwa adake au atoe ..
Golikipa alitakiwa aupige mpira ngumi ubadilishe uelekeo badala ya kutaka kuudaka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom