FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Wananchi tupewe far rabat tuka safishe jina la nchi .hawa mbwa wame chafua
 
Na miye naomba apangwe naye
Ndio atakaye kutana nae hujaona hapo kwenye uchambuzi wameonyesha Road to nusu fainal Wydad anamsubiri mshindi kati ya Mamelod vs yule mwarabu (sijui nani),ambaye alipigwa nne moja kwake .
 
Kwisha
FB_IMG_1682673534696.jpg
JamiiForums237664209.jpg
images%20-%202023-02-19T220803.443.jpg
MASHABIKI%201.JPG
images%20-%202023-02-19T220440.483.jpg
images%20-%202023-02-19T220555.638.jpg
 
Aliogopa kutoka kwenye plan,

Kimsingi sub zilitakiwa pale, phiri mkimbiaji na sakho. Wangefanya usumbufu sana.

Ndo hivyo imeisha.
Huna akili huyo ndio kafungisha Timu,huna kipa huna wapigaji na unajua penalty ni bahati nasibu unawachezesha wachezaji Kwa mentality hiyo Ili iwaje?
 
Nahisi hajakuwa trained kucheza penati...

Tazama kipa wa Wydad alikuwa anaruka kwa kuhama upande, kabahatisha kucheza penati 2...
Hakuna kit kama hicho ...hujui kpira wewe ,penalty Si lelemama...kipa ndiye anajua ugumu wake! Sio suala lankiruka tu
 
Wanathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa[emoji350][emoji350]
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika..
Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba
Ni siku ambayo taifa la Tanzania linaenda kupata aibu kwa kipigo kizito watakachoenda kushushiwa Simba na waarabu wa Morocco.

Mwana kulitafuta mwana kulipewa, mtoto akililia wembe mwache umkate,
wameingia cha kike eeh waaah!!!

Kuwa nami mwarabu feki upate kile kitakachojiri pale katika Dimba la Mohamed V (machinjioni) Jijini Casablanca...

Mechi hii ya kukata na shoka itaanza majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki na itarushwa na Azam Sports kupitia Channel ya ZBC2

Kaa nami mwanzo Mwisho......

Rest in peace Simba[emoji3545]
Timu zote tayari zimeshaingia uwanjani kupasha misuli tayari Kwa mpambano huu wa Leo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

00" Mpira umeanza hapa katika uwanja wa Mohamed V Wydad ndio wamekuwa wa kwanza kugusa Mpira ule

03" Wydad wameanza kusaka bao la mapema

06" Simba wanapata kona ya kwanza ya mchezo ila haikuzaa bao

13" Milango bado migumu kwa pande zote mbili

20" mashambulizi yanaongezeka kuelekea lango la Simba, ila golikipa Ally Salum anakaa vema na kuondoa hatari ile

24" Goooooooo Wydad wanapata goli la kwanza

30" Simba inapataa faulo eneo zuri lakini mpira unaokolewa na kuwa ni wa kurusha kuelekea lango la Simba

45"+1 Imeongezwa Dak 1 ya nyongeza hapa
Mpira ni mapumziko Wydad wanaongoza Kwa goli moja

Kipindi cha pili kimeanza

46" wanaanzisha mashambulizi kupeleka lango la wydad

49" Wydad wanafanya shambukizi Kali lakini mpira unaenda nje

60" mashambulizi ni makali sana langoni mwa Simba ila Bado wameshikilia bomba

90"+4 Zimeongezwa Dak 4, bado Wydad wako mbele Kwa goli 1 kwa bila

Naam mpira umekwisha..

Hatua inayofuata ni mikwaju ya penati kuamua mshindi

Wenyeji wanafanikiwa kusonga mbele kwa penati 4-3 baada ya Shomari Kapombe na Clatous Chama kukosa mikaju yao.

View attachment 2602892View attachment 2602894
Hatuwadai kitu
 
Back
Top Bottom