BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Hongereni Simba robo fainali sii haba elekezeni juhudi FA Azam Cup hakuna namna tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16]Kutoka ni kutoka tu, hakuna jinsia hapo.
Ni kama Simba walikuwa wanasubiri penati, ajabu kumbe huko ni wabovu zaido.Yaani hatujifunzi , mara mbili mfululizo tunatolewa Kwa penati
Penalty hazina mwenyewe mkuu, mimi nimesikitika ila sio kama ambavyo ningeumia tungefungwa ndani ya dk 90.
Kizuri ni kwamba kocha kaonyesha matumaini kwa hikihiki kikosi cha kawaida, uhakika wa kushiriki tena CAFCL na kuvuka makundi mpaka sasa bado tunao ikiwa utafanyika usajili wa maana. Shida iliyopo ni hao madalali ambao kila siku wamekuwa wakutuletea wachezaji wa ajabu.
Kati ya pro wote pale Simba Sc emagine tunatumia sita (6) tu, team ikifanya usajili mzuri kisha tusifukuze kocha, basi msimu ujao utakuwa mzuri huku CAFCL.
Shirikisho mwaka huu kuna team za hovyo wengi wageni wa mashindano Huyu Wydad Ana miaka mitano mfululizo anaingia nusu fainali sio team ndogo hii tena wakiwa kwao hakika tumepambanaPenye ukweli kuwa wazi, hii level Yanga alitolewa na Al hilal hata makundi hakuingia
Kuhusu huko shirikisho, km simba angekuwa huko kwa team za mwaka huu, angefika final na kuchukua kombe.
Kunywa glass ya maji ulale, robo fainali ndo kikomo chenu.Wakuu mara ya mwisho Yanga kushiriki makundi club bingwa ni mwaka gani
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
💪💪💪💪💪💪💪Hawaamini wanachokiona, wanatucheka lkn moyoni mwao wanatu apreciate. Mana walitegemea tungefungwa goli nying
Ujinga na umbumbumbu.Penye ukweli kuwa wazi, hii level Yanga alitolewa na Al hilal hata makundi hakuingia
Kuhusu huko shirikisho, km simba angekuwa huko kwa team za mwaka huu, angefika final na kuchukua kombe.
Hakuna kit kama hicho ...hujui kpira wewe ,penalty Si lelemama...kipa ndiye anajua ugumu wake! Sio suala lankiruka tu
Ya penati hayahesabiwiHivi hata mabao ya matuta nayo ni robota tano tano za mama? Sielewi hapo; Simba watapata robota 15 za ziada kabla ya kuaga mashindano haya.
Kacheza hView attachment 2603141ivi au ?
Hakapo tena maana walianza kujifunza kuhesabu kwa kiarabu lakini walichokitegemea sichoVp,kale kamsemo kenu kuwa tutakula nyingi,bado kapo???
Acha kujifariji na kipigo mlichopata na kutolewa nje ya mashindano.Penye ukweli kuwa wazi, hii level Yanga alitolewa na Al hilal hata makundi hakuingia
Kuhusu huko shirikisho, km simba angekuwa huko kwa team za mwaka huu, angefika final na kuchukua kombe.
[emoji16][emoji16][emoji16] kuna mtu kanambia hapa Yanga walicheza makundi mwaka 1998Kunywa glass ya maji ulale, robo fainali ndo kikomo chenu.
Haya subirini tena mwakani
Atleast leo umeungana na mimi bila shinikizo licha ya kuwa shabiki la utopolo, mara mojamoja sio mbaya ku-side kwangu.[emoji17][emoji17]
Niliichukia penalty toka Fainali za Kombe la Dunia tulichofanywa Team France.!![emoji119]
Kocha ana kitu, hapo ni kufanya usajili mzur tu. Simba ss hv imeshajiwekea kiwango cha kufika robo fainal club bingwa na naamini ndani ya miaka 2 au 3 tunaweza kufika nusu fainali au fainali.Penalty hazina mwenyewe mkuu, mimi nimesikitika ila sio kama ambavyo ningeumia tungefungwa ndani ya dk 90.
Kizuri ni kwamba kocha kaonyesha matumaini kwa hikihiki kikosi cha kawaida, uhakika wa kushiriki tena CAFCL na kuvuka makundi mpaka sasa bado tunao ikiwa utafanyika usajili wa maana. Shida iliyopo ni hao madalali ambao kila siku wamekuwa wakutuletea wachezaji wa ajabu.
Kati ya pro wote pale Simba Sc emagine tunatumia sita (6) tu, team ikifanya usajili mzuri kisha tusifukuze kocha, basi msimu ujao utakuwa mzuri huku CAFCL.