Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefungwa na kutolewa usichekwe... We naniHawaamini wanachokiona, wanatucheka lkn moyoni mwao wanatu apreciate. Mana walitegemea tungefungwa goli nying
Wewe ndio utakua huna akili,mpira haupo hivyo,mbona hao rivers walishawahi kumpiga uyo bigwa mteteziUfananishe bingwa mtetezi wa champions league na Rivers United unakuwa Huna akili
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
nmechemka mkuu?Unachemka
Eeh tutaingia tu soon, nna imani na chama langu. Kocha apewe mda na club isajili wachezaji wazuri.Haswaaaah, iko siku na sisi tutaingia Semi final.
Hii ni namna ya kumfariji mwenye huzuni eti baba PP..??Atleast leo umeungana na mimi bila shinikizo licha ya kuwa shabiki la utopolo, mara mojamoja sio mbaya ku-side kwangu.
Au unasemaje PP?
Acheni hya maneno penati hazina mwenyewe kilichoiua Simba ni shangwe la mashabiki kuwaondolea umakini baadhi ya wapigaji wetuAngekua manula lzm angeokoa hta moja. Dogo bado ana mengi ya kujifunza
Shukrani zimuendee Beki wetu Mahiri Onyango kwa kutuzawadia goli zuri sana sisi Waarabu Koko [emoji2]Yaani hatujifunzi , mara mbili mfululizo tunatolewa Kwa penati
Mm Nina deni n Chama.Kiufupi Onyango is hopeless na ni scam . Ifike pahala sasa kama
Kweli simba inataka kufika mbali , iachane na hawa wachezaji wa TIA maji tia maji
Tukubali kwamba Simba haina improvement , kwa miaka 5 SSC anafika Robo fainali ima shirikisho ima ligi ya mabingwa...... kwa miaka 5 hiyo hajawahi kuvuka hiyo hatua, what do you think ?
Ni mambo ya hovyo, kama Yanga asingekuwa kwenye hatua ya kwenda nusu fainali, basi tungeaminishwa tena this is big achievement.......tunaona wote kuwa this is not big achievement..... Yanga anakwenda kuandika historia MPYA
Simba mjitafakari
Yanga TIA maji TIA maji , anakwenda nusu fainali however hakuwa na path ngumu ..... but it does not matter .
Hii mambo ya kufa kiume ni ujinga, ukiangalia game Dar , ni ubinafsi na lack of team work zimewaponza
Sioni improvement kwa sababu miaka 5 mfululizo huvuki hiyo hatua, unawezaje kusema kuwa you are learning !
Tukubali kuwa hatusajili wachezaji wanaoweza kutuvusha hatua ya robo fainali,tunachoweza sisi ni makundi tu kwenye point,
Knock-out hatuziwezi...... hatuna wachezaji wa knock out tulione hili.
Nilisema hakuna mambo ya Inshallah inshallah, Mpira ni plan na investment
Mfano mtu kama Chama , Onyango , Ntibanzoka...:..banda etc etc.... hivi unawezaje kuwaza kutoboa kimataifa na wachezaji kama hawa . Haiwezekani..... tumewatumia hawa muda wote hawajawahi kutuvusha..... tulione hili
Kuna mtu yoyote anajua kwanini Sub ya Phiri imechelewa..
Huyu kocha atafutiwe wachezaji wa maana.HAKUNA DENI..
HAKUNA DENI..
HAKUNA DEEEENI ....nasema..
Njooni Nyumbani Walume kuna Ujumbe Mmetuma kwa Wadau Wote Wa Soka...!
Sisi WanaSimba tumewaelewa...
Mmpuuzeni Yeyote atakayewabeza..!
Kocho mwenyewe tu ila angeweza kumpa hio nafasiAsanteni Simba sina ninachowadai, Hivi Benno alishindwa kuingia kudaka penalty? au kanuni haziruhusu?
Mundu wa kyala wafwa ku moloko😂😂Ila it's ok, wamejitahidi sana
Yes hazina mwenyewe lkn manula lzm angecheza hta moja. Dogo kajitahid kwa nafasi yakeAcheni hya maneno penati hazina mwenyewe kilichoiua Simba ni shangwe la mashabiki kuwaondolea umakini baadhi ya wapigaji wetu
Penye ukweli kuwa wazi, hii level Yanga alitolewa na Al hilal hata makundi hakuingia
Kuhusu huko shirikisho, km simba angekuwa huko kwa team za mwaka huu, angefika final na kuchukua kombe.