Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaaahEeh tutaingia tu soon, nna imani na chama langu. Kocha apewe mda na club isajili wachezaji wazuri.
Nakusabahi Mrembo mwana Cheshii mwenzangu [emoji4][emoji17][emoji17]
Niliichukia penalty toka Fainali za Kombe la Dunia tulichofanywa Team France.!![emoji119]
Kutokwenda shule nayo inaweza kuwa zawadi ya kushinda bet? Simjui Swalehe ila sidhani kama shule imo, kutokwenda shule hakuwezi kufanyika incentive, unless uwe unatania hapa.Nlibet na swalehe simba wakishinda week ijayo yote haendi shule naenda mimi kwa niaba [emoji1787][emoji1787] eeh mungu baba nashukuru
Hilo linajulikana tangu zamani.Shirikisho mwaka huu kuna team za hovyo wengi wageni wa mashindano Huyu Wydad Ana miaka mitano mfululizo anaingia nusu fainali sio team ndogo hii tena wakiwa kwao hakika tumepambana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nimesema ukweli ambao hamuutaki kuusikia.Mmeanza story za kusadikika sasa [emoji23][emoji23][emoji23] ebu ugulia maumivu taratibu basi mtan [emoji23][emoji23]
Wanaanzia wapi kucheza!?Mdo ipo hivo automatically mkuu,mshindi wa hapa anakutana na mshindi wa kati ya mamelod na ile timu ilopigwa 4 na mamelod
Sawa Ila mechi ijayo unacheza na Lipuli ndio level zenu huko wa wanaume mwendo mmeumalizaUfananishe bingwa mtetezi wa champions league na Rivers United unakuwa Huna akili
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Salamu zimefika mwana blues..!💙💙Nakusabahi Mrembo mwana Cheshii mwenzangu [emoji4]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ilichelewa kidogo kubashiri lakininmechemka mkuu?
Usirudie tena, Watu tumepambana na kufa kiume afu unataka kusemaje? [emoji57]Hakuna shot on target dakika zote[emoji848][emoji848]
Mm Nina deni n Chama.
Hata mwaka jana bahati haikua yetu, na mwaka huu pia, ila Kocha ni mzuri anapaswa kupewa sajiri za uhakika. Tutafika mbalii.Wale mashabiki wa Wydad wanajifanyaga hawapoi leo walikuwa kama wameukalia.Bahati tu imewabeba.
Simba Ooops 🙊🙊🙊🙊 Wydad 😜😜View attachment 2603168jiraniiii