Aziz Ki Mayele
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 899
- 1,955
Na mwaka kesho, na mwaka kesho kutwa bahati haitakua yenu.. 🤣🤣🤣Hata mwaka jana bahati haikua yetu, na mwaka huu pia, ila Kocha ni mzuri anapaswa kupewa sajiri za uhakika. Tutafika mbalii
Unavyowaona hao Wydad wanachukua hivyo vikombe unadhani ni bahati eeh?