Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana hoja za kitoto sana , haohao sijawahi kusikia wanaiponda Mamelod yaani ushabiki wa Simba na Yanga umeharibu kila zuri yaani mtu wa timu A hakubaliani na chochote cha timu BAu aende UEFA akawaulize Man city watampa majibu, labda mwaka huu Man city anaweza kubeba UEFA.
Mkuu tumekubali tumepigwa kama ngoma weka sherehe sasa.Wamepigwa kama NGOMA ,Mandonga Mtu Kazi 😀 😀 ,Kwishney patel nei nei kemcho amdabat islamabad.
Mmetoboka kubalini. Alafu acheni kelele zinawaponzaUTOPOLO AKA MITOMBOLYA
Mkuu tumekubali tumepigwa kama ngoma weka sherehe sasa.
Mjipange kwa ajili ya msimu ujao. Robo fainali ndiyo kipimo chenu cha mwisho cha mafanikio.Kila nikikutana na hii misemo nawakumbuka wale niliotazama nao mechi. Kwa dk 95 wao ndo hawakuwa na raha kwa sababu kilichotokea sicho walichokuwa wanakiombea kitokee.
Simba imetolewa ila furaha wanaikosa wengine kwa sababu wanajua mashabiki wa simba hawana deni kwa timu yao kwa walichoshuhudia uwanjani katika mashindano ambayo wao yaliwashinda mapema sana. Wao ndo wanaojifariji.
HahahaAcha basi😂
Kusema kweli ingekua Yanga jana mngechapika mapema tu msingefika penati.