FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Gusa. Achia. Twenda kwao.

Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.

Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.

Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.

Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni

Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
1737203873216.jpeg

Dakika ya 26 yng 0-0mca

Dakika ya 27 mca wanakosa goli la wazi

Dakika ya 28
Mudathir amefanyiwa madhambi

Dakika ya 33
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 35
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 36
Mudathir anakosa goli la wazi

Dakika ya 37
Mca wanapoteza muda sana hapa uwanjani

Dakika ya 45+4
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄

Young Africans SC 0-0 MC Alger
20250118_165837.jpg

Kipindi cha pili kimeanza
Mabadiliko anatoka musonda anaingia pacome

Dakika ya 48
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi


Dakika ya 50
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 54
Yng 0-0 mca

Dakika ya 58
Yanga SC wanapata freekick

Dakika ya 60
Mca wanachelewesha sana muda

Dakika ya 63
Kibwana anafanyiwa madhambi

Dakika ya 66
Mca wanakosa goli la wazi

Dakika ya 67
Anatoka mudathir anaingia chama

Dakika ya 68
Yanga SC wanapata freekick

Dakika ya 72
Dube anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 74
Chama anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 80
Yng 0-0 mca

Dakika ya 86
Boka amefanya madhambi hapa

Dakika ya 90+7
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄

Young Africans SC 0-0 MC Alger
20250118_180342.jpg
 
Dar yanga Africa mbele kwa mbele

Tunaenda kufyeka kichaka kingine walichojificha kolo wizard

Sasa Nifah bado upo na gamond au upo na said

Gusa achia twende kwao
Mimi ni mpenzi na shabiki wa Yanga, sio wa Hersi wala Gamondi.

Sina ndimi mbili za kutema moto na barafu, viongozi wakifanya maamuzi ya hovyo nitasema waziwazi kama ambavyo nimesema Hersi alifanya uamuzi wa kipumbavu kumuondoa Gamondi tukiwa tunakabiliwa na michuano mikubwa.

Timu yangu Yanga naipenda daima, and of course tunashinda hii mechi na kutinga hatua inayofuata.
 
Gusa. Achia. Twenda kwao.

Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.

Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.

Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.

Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni

Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
Kama kawaida ya Yanga (wachovu wa kimataifa), watagusa tu uwanja wa Mkapa na kuachia mechi ikienda MC Alger. Sioni umuhimu wa watu kwenda kushangilia haibu, this is Yanga tunawajuwa kwa mechi za kimataifa.
 
Gusa. Achia. Twenda kwao.

Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.

Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.

Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.

Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni

Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
Bye Bye Yanga wachovu wetu wa kimataifa
 
Back
Top Bottom