FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Mimi ni mpenzi na shabiki wa Yanga, sio wa Hersi wala Gamondi.

Sina ndimi mbili za kutema moto na barafu, viongozi wakifanya maamuzi ya hovyo nitasema waziwazi kama ambavyo nimesema Hersi alifanya uamuzi wa kipumbavu kumuondoa Gamondi tukiwa tunakabiliwa na michuano mikubwa.

Timu yangu Yanga naipenda daima, and of course tunashinda hii mechi na kutinga hatua inayofuata.
Huwezi kusema fulani kafanya maamuzi mabovu pasipo kujipa muda kuona matokeo yale maamuzi yake ni yapi. Gamondi alishusha morali ya wachezaji, alishusha fitness ya wachezaji, alishusha viwango vya wachezaji na tukashuhudia Yanga hata ikicheza na KMC au Ken Gold wanapata matokeo kwa tabu asa uliwaza nini kuona timu inayosua sua hata kwa Ken Gold ije ifanye vizuri kwa timu zenye wachezaji wa viwango vya juu katika CAFCL?
 
Kama kawaida ya Yanga (wachovu wa kimataifa), watagusa tu uwanja wa Mkapa na kuachia mechi ikienda MC Alger. Sioni umuhimu wa watu kwenda kushangilia haibu, this is Yanga tunawajuwa kwa mechi za kimataifa.
Haibu ndo nini?? Au ndo kipimo cha kukutambua ulivyo tunapaswa kuanzia hapo
 
Back
Top Bottom