Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Pasipo Makolo hakuna boli bongoShabiki la kutupwa la yanga aka mimi
Makolo hatuwataki kwenye huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pasipo Makolo hakuna boli bongoShabiki la kutupwa la yanga aka mimi
Makolo hatuwataki kwenye huu uzi
Yanga watunze nguvu wasitumie nguvu za ziada: 1-0 kama kwa al Hilal inatosha kabisa !!
Wale wacheza Ngoma ya Ngongoti wapelekwe uwanjani, vita ya kisaikolojiaGusa. Achia. Twenda kwao.
Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.
Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.
Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.
Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni
Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
Safi sana kwa kutambua udogo wenu. Tunapenda watu wenye adabu kama wwNaamini mashabiki wa simba wanatamani yanga watolewe ila hata mimi natamani yanga atolewe ila haya mjamaa yanashinda.
Gusa achia twende robo fainaliGusa. Achia. Twenda kwao.
Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.
Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.
Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.
Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni
Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏Safi sana kwa kutambua udogo wenu. Tunapenda watu wenye adabu kama ww
Njoo geto tuangalie mechi wote.Yani hapa nilipo hii mechi inawatesa Wana Kunyasi kuliko Yanga wenyewe wallah
Ile game ilikuwa na tension sana, mbona waliwafunga uto mechi ya kwanza vizuri tu. Leo watatulia ingawa ni kweli siyo wazuri kihivyo.Sema hawa warabu ni wambovu sijapata kuona game yao ya mwisho walicheza hivyo sana utopolo washindwe wenyewe tu
Unawapa kazi ngumu mods ya kukupa kifungo. Yaani upigwe ban jukwaa la siasa pekee sio? 🤣😂🤣Yanga wakishinda nipigwe bani ya miezi miwili jukwaa la siasa .