FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Shabiki la kutupwa la yanga aka mimi

Makolo hatuwataki kwenye huu uzi
Pasipo Makolo hakuna boli bongo
1736969076683.jpg
1736711821625.jpg
 
Gusa. Achia. Twenda kwao.

Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.

Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.

Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.

Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni

Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
Wale wacheza Ngoma ya Ngongoti wapelekwe uwanjani, vita ya kisaikolojia
 
Amin,Amin nawaambia,,, ,, Dar es salaam young Africa hamtoamini mtakavyochukuchwa leo.
 
Gusa. Achia. Twenda kwao.

Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.

Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.

Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.

Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni

Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
Gusa achia twende robo fainali
 
Sema hawa warabu ni wambovu sijapata kuona game yao ya mwisho walicheza hivyo sana utopolo washindwe wenyewe tu
Ile game ilikuwa na tension sana, mbona waliwafunga uto mechi ya kwanza vizuri tu. Leo watatulia ingawa ni kweli siyo wazuri kihivyo.
 
Back
Top Bottom