Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Safi sana leo umekuwa na akiliIla Yanga ni watu wa Jihad Sana tangu kitambo. Leo labda bahati isiwe kwao... Lakini wamepania kweli kweli.
Wapo radhi roho ziwatoke lakini lazima washinde hii gemu.