Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Yanga watawafunga goal kipindi cha kwanza dk za mwanzoni kabisa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahRisiti kabatini 😀😀😃😃😃😃😃😃😀
Sifuti mkuu 😅😅😅Futa hii itakuletea shida mwanangu 😀 😀 😃
Itakuletea shidaSifuti mkuu 😅😅😅
Jukwaa la siasa nipigwe ban aseeItakuletea shida
ulozi huu sasaMimi Mnyama ila kwa leo natanguliza uzalendo,Wapate draw wasipoteze.
Na huku jeJukwaa la siasa nipigwe ban asee
Siasa tuNa huku je
InshallahMimi ni mpenzi na shabiki wa Yanga, sio wa Hersi wala Gamondi.
Sina ndimi mbili za kutema moto na barafu, viongozi wakifanya maamuzi ya hovyo nitasema waziwazi kama ambavyo nimesema Hersi alifanya uamuzi wa kipumbavu kumuondoa Gamondi tukiwa tunakabiliwa na michuano mikubwa.
Timu yangu Yanga naipenda daima, and of course tunashinda hii mechi na kutinga hatua inayofuata.
Hata waarabu wanakumbuka ni sare pekee ndiyo itakayowavusha kwenda hatua inayofuata.Kila la heri kwa Wananchi Young Africans. 💛💚
Wachezaji kumbukeni ni ushindi pekee ndiyo utakao wavusha kwenda hatua inayofuata.
Gusa achia tukaage CAFCL leo, Uto ni wababe & wamama watakaoshenyetwa na kurudi NBCPL kugombania nafasi ya 2&3.Huku ni Kwa wanaume .....makolo wabaki kombe la kina mama
Mfungwe tu kelele zipungue mtaani. Utopolo ni washamba wa hii michuanoHuku ni Kwa wanaume .....makolo wabaki kombe la kina mama