Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Nawaonea huruma uchungu wa kizalendo (utanzania) Ila Hali ni mbaya kwa young African...maana safu yenu ya ushambuliaji ya yanga imesha ishiwa MBINU..Bado saa moja na dk 4 nikimbie niende wapi mazee wakati baada ya gemu ni sherehe tu..
Yanga hamtoboi mkijitahidi ni sareDiarra nina moyo wa plastiki mimi japo nakukubali sana.
Akisare?Mpaka Yanga ashinde leo atazipata
Kukaa golini ni mbinu ya kizamaniHawa jamaa Leo wamekuja kulinda goli tu ,mechi ngumu sana
kumbuka dakika 90Dk 70 YNG 0 - 0 MCA
Mechi Yanga anashinda kuwa mpoleWaarabu wako vizuri sana kwenye box lao, kila mmoja ni chuma hapiti mtu wala mpira.
We pray for miracle 🙏 yaan qualities ya yanga ime balance ⚖️ na MCA so the only thing ni MIRACLE pekeeeNishakata tamaa na yanga ase
Sara ndio kutotoboa kwenyeweYanga hamtoboi mkijitahidi ni sare
Umri ni mzeekwan Chama anashida gan
YANGA HASHINDI AKISHINDA NAKUPA 10KMechi Yanga anashinda kuwa mpole
Ngoja tuone aseWe pray for miracle 🙏 yaan qualities ya yanga ime balance ⚖️ na MCA so the only thing ni MIRACLE pekeee