FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Bado saa moja na dk 4 nikimbie niende wapi mazee wakati baada ya gemu ni sherehe tu..
Nawaonea huruma uchungu wa kizalendo (utanzania) Ila Hali ni mbaya kwa young African...maana safu yenu ya ushambuliaji ya yanga imesha ishiwa MBINU..

The only way to win this game ni kushinda..beki za MCA zipo fasta na makini Sanaa...

Hii mechi Kama taifa ni MUUJIZA utokee
 
Mechi ya hivi mara ya mwisho niliiona wakati arsenal wanakipiga na man city huku mmoja wao akiwa na redcard
 
Back
Top Bottom