FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Ushabiki wa kibongo ni WA kijinga sana yaani badala mshabikie Timu yenu kuipa Nguvu ,wote walioko uwanjani wanashangaa huku Waarabu ndio wanashangilia 😁😁
Mashabiki wana pressure ya game.....
 
Huku ni Kwa wanaume .....makolo wabaki kombe la kina mama
Hii kauli si nzuri kwa wanaopenda michezo na pia inaonyesha ni namna gani unafikiri negatively mkuu,, ni kwamba Yanga wanaiwakilisha nchi na siyo wewe πŸ€”πŸ€”
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…