Nimelikumbuka tu baada ya mechijina langu,vipi unanidai kijana?
Huwezi ku comment mpaka uandike matusi?Gusa achia ukanye.Usibane mavi ndio imeingia hiyo.Mwaarabu kafanya yake.
πππ
Kuna version mpya ya hii imetoka leo.πππ
Hii ndio yenyewe ππππ
Inakuuma chomoa.Huwezi ku comment mpaka uandike matusi?
Na hii je?Hii ndio yenyewe ππππ
πππππππππ
Na haka kajamaa kanawa pump sana na nyie mnajaa mnajiona Liverπππππππππ
Hiyo full tank labda ukaifanye kwenye rejetaWazee kesho magoli mawili tuu nijaze full tank yangu, msiniangushe tuu πππ
Usiwaze mzeePoleni watani zetu i'm really sorry but I have no choice
Hata nyie wachezaji wenu walitakiwa wavae hivi viatu ili muweze kutoboaUsiwaze mzee
Pambaneni mtoboe
UmechelewaYanga haikufungwa!
Yanga haijafungwa bali imetolewa!! Inabidi wdelea simba!!anachi walalamike kwa CAF!! Uonevu gani huu!! CAF wanaipendelea simba!! Kwa nini simba wanaendelea hata kabla ya mechi??Yanga haikufungwa!