Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa lazima Mwarabu awalaze na viatu sioni mipango ya ushindi,wenzao wakitoa draw tu wamepita.Kiufupi wachezaji wa Yanga hawana akili za ugungaji ,mechi kama hizi Pacome na Mwamba wa Lusaka ndio wanatakiwa waamue mechi maana ndio wenye akili
Chama ni zaidi ya Pacome,chama ndio ana akili na hanaga papara kama upuuzi mnaofanya humo uwanjani.Hapan
Hapa kwa chama labda pacome
Anatafuta ufalme pale mbeleMzize sio kila siku ni Jumapili, toa pasi
Yanga washalegea tayariKocha afanye sub upesi atoke Dube na Musonda, atuwekee Chama na Pacome. Sijui anasoma hizi jumbe.
HapanaMwambieni Mzize sio kila siku ni ijumaa
Wakichapwa goli haka kanazimia
Tumeshamwambia, amesema tusimuingilie.Kocha afanye sub upesi atoke Dube na Musonda, atuwekee Chama na Pacome. Sijui anasoma hizi jumbe.
SawaSoon tutawafunga tu hawa waarabu.
Kwa huu mpira labda kichawiSoon tutawafunga tu hawa waarabu.