FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Naona Kama vile Yanga atalazimishwa sare na hivyo kupoteza matumaini. Ila refa anawapendelea wasrabu. Mtu kanawa mpira kwenye penalty box lakini refa akamezea tu
Umadhani kila mguso wa mkono ni faulo!? Lazima uamgalie uelekeo wa mkono na eneo ulipokuwa, au unataka wachezaji wakatwe mikono?
 
Gusa. Achia. Twenda kwao.

Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi.

Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali.

Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za karibuni lakini MC Alger nae akiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo akiwa ugenini msimu huu.

Mechi hii ya aina yake itapigwa saa 10:00 jioni

Kila la heri kwa Mabingwa wa Tanzania, Taifa lipo nyuma yenu.
View attachment 3205353
Dakika ya 26 yng 0-0mca

Dakika ya 27 mca wanakosa goli la wazi

Dakika ya 28
Mudathir amefanyiwa madhambi

Dakika ya 33
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 35
Yanga SC wanapata kona

Dakika ya 36
Mudathir anakosa goli la wazi

Dakika ya 37
Mca wanapoteza muda sana hapa uwanjani
Team haina wakimbiaji aka dribbler mbaya zaidi Mzize amekua mbinafsi baada ya kusifiwa sn, Chama+Pacome wanahitajika sn plus Dube
 
Back
Top Bottom