Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Yanga wanacheza kama wameshinda kwenye mkesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamelala kwa mganga hao.0Yanga wanacheza kama wameshinda kwenye mkesha
Hawa nao washukuru tu walishafuzu
Nakala imfikie Tsh Kiweriweri uran OKW BOBAN SUNZU Scars DR Mambo JamboYanga bora tutoke tu huku CAF tujikite kwenye NBC
Kuko nako kuna pilipili🤣🤣Yanga bora tutoke tu huku CAF tujikite kwenye NBC
Hizo mbili anashindia wapi ?Yanga hata ashinde goli Mia2 hawezi kuongoza kundi, head to head na Al hilal haimpi nafasi,
Hakuna kitu hapo,Waarabu wameshika njia Yanga wanaruka Rukwa na mpira ,watafungia wapi? Moujiza na uchawi au?Zipo mkuu..... Wanahitaji umakini
Mkuu ni kwamba unatabiri🤣Mechi ya Simba zilipoongezwa dakika 7 kuna watu walilalamika
Bora Chama aingie nafasi ya Dube
Anawapa tu moyo kinafiki we jamaa..Yanga wameshapoteana mpaka dakika hii wamejaa kwenye mfumo wa waarabu na game inaisha DrawYanga akisipoingia kwenye mtego wa Mc Alger wa kupanic akaongeza utulivu hii gemu anashinda.
Ikifika dk ya '80' hawajafungwa, wataingiza mablanketi uwanjani ..Wanajiangusha sana waarabu hawa
Yupo kwenye mkutano mkuu Dodomakwan Chama anashida gan