Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ??????Makolo mtalala vibaya sana kwa maumivu leo
Mno kiongozi hapa ndevu zimechafuka machicha ya mbege tu😅😅😅😅Nimeona watu wanaogelea kwenye mapipa ya mbege😊
Niuzie calculator NifahMimi kila kitu hakiendi, inauma sana.
SilenzioNahisi huzuni kama ya kule gaza kwa wenetu wa yanga bwashee 🤪🤪🤪
Usitutoe kwenye reli mkuu🏊🏊🏊🏊🏊🏊 kwenda USA kucheck madhara Ya nyumba Yangu ilioungua moto - Nilijenga kwa Tabu Sana kwa Hela za Unyanganyi, Uporaji
View attachment 3205451
Yote wameyataka viongozi wetu, hii mechi tulikuwa hatuhitaji magoli mengi sikuona sababu ya kuanza na double striker.Ila huwezi jua yy aliona nini, ila viongozi walitukosea kumuondoa Gamondi, huyu kocha anajenga timu kwa falsafa yake,yy anaona amepatia so huwezi mlaumu ila hakutakiwa kuanza na Musonda.Haijawai kumsaidia mtu.
Leo imemuuma inaonyesha wamegusa pabaya.Niuzie calculator Nifah