[emoji23][emoji23]azam wakiwa serious kidogo soon wanauchomoa mwiko.
yanga wafungwe tu wawahi boti ya saa 12 waje kwa familia zao wakituangalia saa mbili kwa tv.Nasikitika yanga kutolewa
Inavyoonekana ni hivyo tunajitahidi kukikwepa kitu chenye kucha kali.Yanga tunavyocheza hatuoneshi bidii kabisa, hii inaweza kuleta tafsiri nyingine tuonekane kama kuna kitu tunakikwepa
Wakichomoa mwiko nyuma watakuwa wamekuaAzam watoto wadogo sana hawa.
Mwanayanga mwenzetu huyu japo ushabiki wake ni kususa Simba.Hahahahaha kamera zimemnasa manara jamani, hakika leo kaimprove sana