ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Piga hao yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mechi Sure Boy alitakiwa aanze badala ya Farid Musa, na pia Dennis Nkane alitakiwa aanze badala ya Moloko!Hii mechi Yanga wangewatumia wale wale wakina Ambundo kiliko kuwasafirisha wakina Saidoo. Wanakosa match fitness
Hauchomolewi unasokomezwa ndani zaidiHuo mwiko huko nyuma lazima uchomolewe.
Tunataka mtuambie, kulikuwa na haja gani ya kupandisha boti wachezaji mliowaacha?Hii mechi Sure Boy alitakiwa aanze badala ya Farid Musa, na pia Dennis Nkane alitakiwa aanze badala ya Moloko!
Hawa wachezaji wawili wamechangia sana Yanga ishindwe na Azam kwenue umiliki wa mpira. Natamani pia Mayelle angeanza badala ya Makambo kutokana na umahiri wake kwenye kutumia nafasi chache anazo zipata.
All in all, ndani ya hizi dk 45 Azam wamecheza vizuri kuliko Yanga. Na wasipo badilika, basi watatolewa pasipo kuamini macho yao ktk hii hatua ya nusu fainali na hawa vibonde Azam.
Kiwango cha Yanga leo kimeshuka mno na hiyo yote ni kutokana na kujifanya hawako serious na mashindano halafu ghafla tu walipoingia nusu fainali wakaamua wawe serious na kuwaokota okotea wakina Bangala mitaani huko ili waunganishe nguvu. Mara mia wangeawaacha wakina Ambundo wacheze hii mechi kwavile tayari walishakuwa na match fitness na walicheza vyema tu. Napata wasiwasi sana na wachezaji wazawa waliosajiliwa Yanga Kama wataendeleza vipaji na viwango vyao ndani ya hii timu maana naona kama wanakalili tu majina ya wachezaji badala ya uwezo wa wachezaji.Timu ambayo mitandaoni inasifika kupiga pasi 700 ndio hii inacheza hapa na azam au kuna nyingine?
Ipo wazi kabisa kuna timu inajaribu kumkwepa mwenzie inasikitisha sana..Tunaomba kuwe na nafasi ya mshindi wa tatu maana kuna timu inajaribu kwa makusudi kumkwepa mwezake!
Wote unao wataja taarifa Inasema wanaumwaHii mechi Sure Boy alitakiwa aanze badala ya Farid Musa, na pia Dennis Nkane alitakiwa aanze badala ya Moloko!
Hawa wachezaji wawili wamechangia sana Yanga ishindwe na Azam kwenue umiliki wa mpira. Natamani pia Mayelle angeanza badala ya Makambo kutokana na umahiri wake kwenye kutumia nafasi chache anazo zipata.
All in all, ndani ya hizi dk 45 Azam wamecheza vizuri kuliko Yanga. Na wasipo badilika, basi watatolewa pasipo kuamini macho yao ktk hii hatua ya nusu fainali na hawa vibonde Azam.
yanga amkwepe simba hahahahaha mkuu acha vichekesho basiUtopolo wanacheza hawaonyeshi bidii kabisa, wanatafuta mbinu ya kutukwepa hawa
Na wasingekuja, halafu timi ikatolewa! Bado watu wangelalamika tu. Ila binafsi, sijafurahiswa kabisa na upangaji wa wachezaji kwenye kiungo na ushambuliaji!Tunataka mtuambie, kulikuwa na haja gani ya kupandisha boti wachezaji mliowaacha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nkane na sure boy wanaumwa mkuu hata sub hawapoNa wasingekuja, halafu timi ikatolewa! Bado watu wangelalamika tu. Ila binafsi, sijafurahiswa kabisa na upangaji wa wachezaji kwenye kiungo na ushambuliaji!
Yaani wamepooza mpaka wanakera. Wakiwatoa Farid na Moloko, na kuingia Nkane na Sure Boy, mambo yatakuwa bam bam kwa Yanga.
Hahahaha timu Ipi? Ile ilishangilia draw, hii ulitaka liwa na wala ndegeHao yanga wapewe glucose wapate nguvu tuna matumizi nao fainali....
Basi hii ni taarifa mbaya sana kwa siku ya leo! Aucho naye sijui yuko Sub!! Maana kiungo kimepwaya mpaka basi! Yaani Fei Toto hajulikani hata kama yuko uwanjani!Wote unao wataja taarifa Inasema wanaumwa